MTZ 255Dar
JF-Expert Member
- Sep 25, 2018
- 1,149
- 3,963
Nashukuru Sana Ndugu yangu.Nenda ofisi ya serikali ya mtaa wako au kata Yako. Mtendaji atakupa barua inayokutambulisha wewe kuwa ni mtoto wa marehemu na taarifa za marehemu.
Ukipata barua hiyo pia Kuna muhtasari wa kikao Cha familia unaokuruhusu kuchukua hicho cheti lengo ni kuepusha migogoro iwapo watoto ni wengi au wa wake tofauti.
Ukiwa navyo hivyo vyote (barua na muhtasari) fika Rita ukiwa na Hela chini ya elfu tano utakayoitoa Kama ghalama(zamani ilikua 3000)
Napenda kuuliza kidogo.Nenda ofisi ya serikali ya mtaa wako au kata Yako. Mtendaji atakupa barua inayokutambulisha wewe kuwa ni mtoto wa marehemu na taarifa za marehemu.
Ukipata barua hiyo pia Kuna muhtasari wa kikao Cha familia unaokuruhusu kuchukua hicho cheti lengo ni kuepusha migogoro iwapo watoto ni wengi au wa wake tofauti.
Ukiwa navyo hivyo vyote (barua na muhtasari) fika Rita ukiwa na Hela chini ya elfu tano utakayoitoa Kama ghalama(zamani ilikua 3000)
Muhtasari wowote majina ya wanafamilia, uhusiano wao na marehemu na sahihi zao vinahitajika. Taarifa hizo zitakuwepo kwenye karatasi la mahudhurio.Napenda kuuliza kidogo.
Je,Huo mhitasari wa Kikao Cha Familia unatakiwa uweje? Au Uhusu Nini? Majina ya wanafamilia yanahutajika?