MSAADA WA KIAFYA: Kukojoa usaha na maumivu makali

Nini sababu ya mtu kukojoa usaha na maumivu wakati wa kukojoa?? nini tiba yake(dawa)??
Upesi nenda Hospitali, ni Kisonono (Gonorrheah) hicho. Na ikiwezekana fuatana na mwezi wako!
 
Wahi kachomwe yale masindano ya Gono fasta, pia mwambie bibie awahi mapema pia.
 
Nenda hospitali,

Angalizo

Usitumie dawa bila ushauri wa daktari.
 
Hiyo ni dalili ya magonjwa ya zinaa.
Wahi hospitali na uongozane na mwenza wako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…