Wanajf naombeni msaada kwa tatizo linalonisibu, kila ninapotoka kuoga ndani ya dakika chache ngozi yangu huwa inawasha sana. Nimejaribu kutumia medicated soap lakini bado tatizo liko palepale. Maji nayo sidhani kama ni issue kwani sehemu yoyote ninapokua nimekwenda hali ni hiyo hiyo. Ndugu zangu nisaidieni.