unaugonjwa unaitwa grustuuuresd/56&frbb/hhj
ukiendelea hivi itakupelekea upate utapia mlo.
Angalia usikumbwe na kiharusi
au ugonjwa wa kusinzia sinzia hovyo.
Me nakushauri tafuta wataalamu wakufunge speed governor ya moyo maana uendavyo kasi na Tanzania yetu hayo mambo yamejaa kila kona utakutana na tochi za traffic