Mbuna Senior
Member
- Aug 2, 2016
- 55
- 125
Habari za leo wana jamvi,
Naomba msaada wa kitabibu nimepata ugonjwa wa zinaa nahisi ni gono maana usaa unatoka kwa wingi na pia nasikia maumivu makali wakati wa kujisaidia haja ndogo.
Nimepata ushauri na marafiki maana nimeona aibu kwenda hospital nikanunua dawa za fragil, doxy na cipro nimetumia hadi dozi imeisha ila bado hali ya kutoka usaa inaendelea ingawa maumivu yamepungua pia ninajitahidi kunywa maji mengi na mkojo unatoka mweupe kama kawaida ila nikiamka asubuhi naona usaa unegandia.
Naomba ushauri maana naumia kisaikolojia. Ahsanteni
Naomba msaada wa kitabibu nimepata ugonjwa wa zinaa nahisi ni gono maana usaa unatoka kwa wingi na pia nasikia maumivu makali wakati wa kujisaidia haja ndogo.
Nimepata ushauri na marafiki maana nimeona aibu kwenda hospital nikanunua dawa za fragil, doxy na cipro nimetumia hadi dozi imeisha ila bado hali ya kutoka usaa inaendelea ingawa maumivu yamepungua pia ninajitahidi kunywa maji mengi na mkojo unatoka mweupe kama kawaida ila nikiamka asubuhi naona usaa unegandia.
Naomba ushauri maana naumia kisaikolojia. Ahsanteni