Msaada wa kielimu kwa mdogo wetu wa kike

Msaada wa kielimu kwa mdogo wetu wa kike

EDIGAR JO

JF-Expert Member
Joined
May 6, 2024
Posts
422
Reaction score
444
Mdogo wangu anamiaka 17 kahitimu elimu ya kidato cha nne mwaka jana yaaani ni 2024. Lakini haikuwa bahati yake kupata matokeo mazuri kutokana na mambo mengi.

1.Usimamizi mbovu kutoka pande mbili wazazi wake na walimu pia .
2.Kutokana kukosekana kwa mikakati madhubuti ya kuhakikisha walau watoto wanafaulu .
3.Jamii pia inayomzunguka haina mchango wowote.

Hivyo basi matokeo yakawa ni division 4 point 31

Na kuna C -Kiswahili n.k

Mpaka hapo nadhani ushaelewa kidogo

MPANGO ULIOPO

Yeye alipenda sana Jeshini lakini kwa hayo matokeo naona haitomsaidia .

MZAZI WETU AMERIDHIA KUTOA HELA YEYOTE ILI AENDELEE KUSOMA , JE! KOZI AU MAFUNZO YAPI AYAPATE???
 
Mtoa mada wewe kama wewe unamaono gani ukiweka mbali ulalamishi.

Wewe kama kaka au dada umempa ushauri gani.Kwa umri wako ni dhahiri unajua maisha yanataka nini hapa mavumbini Tz,so kwa kukusaidia wewe weka mawazo yako hapa tukushauri vizuri.
 
Mleta mada ww nimvivu wakuandika kwani si uoneshe matokeo yote ili wenye uelewa waje wakupe ushauri mzuri
 
Ila wa Tz bwana yani kufeli kwa mwanafunzi unalalamikia walimu eti hawakuwa na usimamizi mzuri. Unamaanisha nini labda. Au ulitaka wakaishi nae, au wampige hadi akili ziwemo kichwani, au walikuwa wanamfukuza kwenye vipindi. Je hao waliofaulu wao waliwapa nini walimu kuwasimamia. Tuache lawama tuwajibike kwa watoto wetu, hao walimu siyo watoto wao hata wakifeli wao hawana cha kupoteza. Wewe umewahi kuona daktari anaumia au kushushwa mshahara mgonjwa akifa. Shauri lako, endelea kulalamika.
 
Ila wa Tz bwana yani kufeli kwa mwanafunzi unalalamikia walimu eti hawakuwa na usimamizi mzuri. Unamaanisha nini labda. Au ulitaka wakaishi nae, au wampige hadi akili ziwemo kichwani, au walikuwa wanamfukuza kwenye vipindi. Je hao waliofaulu wao waliwapa nini walimu kuwasimamia. Tuache lawama tuwajibike kwa watoto wetu, hao walimu siyo watoto wao hata wakifeli wao hawana cha kupoteza. Wewe umewahi kuona daktari anaumia au kushushwa mshahara mgonjwa akifa. Shauri lako, endelea kulalamika.
Unauhakika shule imefanya vizuri ???🙄
Walimu wa shule ile nawajua wote vizuri kwasababu ni ya kata na wengi wao ni wanachangamoto za hela tu wanapozipata hawaangalii ilipotoka
 
Mpigie huyu jamaa 0745944071 anakituo arusha kinasaidie watu kusoma na kupata vyeti vya O level vya uingereza ....mitihani inafanyila mwezi wa tano kama ndugu yako yupo tayari mpeleke akasome . Mwezi wa kumi aende chuo
Kizuri hii haina kufeli labda asiandike kitu aache blank
 
Unauhakika shule imefanya vizuri ???[emoji849]
Walimu wa shule ile nawajua wote vizuri kwasababu ni ya kata na wengi wao ni wanachangamoto za hela tu wanapozipata hawaangalii ilipotoka
Weka hayo matokeo ya shule nzima tuone.
 
Mdogo wangu anamiaka 17 kahitimu elimu ya kidato cha nne mwaka jana yaaani ni 2024. Lakini haikuwa bahati yake kupata matokeo mazuri kutokana na mambo mengi.

1.Usimamizi mbovu kutoka pande mbili wazazi wake na walimu pia .
2.Kutokana kukosekana kwa mikakati madhubuti ya kuhakikisha walau watoto wanafaulu .
3.Jamii pia inayomzunguka haina mchango wowote.

Hivyo basi matokeo yakawa ni division 4 point 31

Na kuna C -Kiswahili n.k

Mpaka hapo nadhani ushaelewa kidogo

MPANGO ULIOPO

Yeye alipenda sana Jeshini lakini kwa hayo matokeo naona haitomsaidia .

MZAZI WETU AMERIDHIA KUTOA HELA YEYOTE ILI AENDELEE KUSOMA , JE! KOZI AU MAFUNZO YAPI AYAPATE???
Nipe namba yake aje getoni nimpe ushauri mzuri
 
Mdogo wangu anamiaka 17 kahitimu elimu ya kidato cha nne mwaka jana yaaani ni 2024. Lakini haikuwa bahati yake kupata matokeo mazuri kutokana na mambo mengi.

1.Usimamizi mbovu kutoka pande mbili wazazi wake na walimu pia .
2.Kutokana kukosekana kwa mikakati madhubuti ya kuhakikisha walau watoto wanafaulu .
3.Jamii pia inayomzunguka haina mchango wowote.

Hivyo basi matokeo yakawa ni division 4 point 31

Na kuna C -Kiswahili n.k

Mpaka hapo nadhani ushaelewa kidogo

MPANGO ULIOPO

Yeye alipenda sana Jeshini lakini kwa hayo matokeo naona haitomsaidia .

MZAZI WETU AMERIDHIA KUTOA HELA YEYOTE ILI AENDELEE KUSOMA , JE! KOZI AU MAFUNZO YAPI AYAPATE???
Ana D ngapi pamoja na hiyo C
 
Back
Top Bottom