Njopino
JF-Expert Member
- Apr 8, 2014
- 3,468
- 5,060
Nawasalimu wote.
Mwaka huu nimeazimia kujikita katika kilimo, kwa kuanzia nimepata shamba eka moja, nataka nianze kilimo cha mahindi. Hivyo basi naomba wataalamu wa kilimo wanijuze mbegu kiasi gani nitumie katika eka moja ili nipate matokeo chanya, na mambo muhimu ya kuzingatia katika kilimo hiki. Nimejiwekea malengo ya kuongeza ukubwa wa shamba kadri ninavyokuwa mzoefu kwenye kilimo.
Nawasilisha.
Mwaka huu nimeazimia kujikita katika kilimo, kwa kuanzia nimepata shamba eka moja, nataka nianze kilimo cha mahindi. Hivyo basi naomba wataalamu wa kilimo wanijuze mbegu kiasi gani nitumie katika eka moja ili nipate matokeo chanya, na mambo muhimu ya kuzingatia katika kilimo hiki. Nimejiwekea malengo ya kuongeza ukubwa wa shamba kadri ninavyokuwa mzoefu kwenye kilimo.
Nawasilisha.