Msaada wa kimaarifa wakuu

dos.2020

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2009
Posts
11,880
Reaction score
10,372
Je kuna faida ya ziada inayopatikanwa kwenye mchanganyo wa baadhi ya vyakula? Kwamfano . Hivi unapokula tende au maziwa pekeyake au ukavila kwa pamoja hali yakuwa vipo mbalimbali na ile hali ya kuvisaga kwa pamoja je kuna faida ya ziada inyoaptikanwa ndani yake mchanganyiko uliosagwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…