Msaada wa kimapenzi!!!

Miken

Member
Joined
Jan 17, 2011
Posts
15
Reaction score
1
Ni kwamba nimesoma makala nyingi sana juu ya kitendo cha kupiga punyeto,kila mwandishi ameandika kivyake.Hivi karibuni nimesex na demu wangu bila shida na wiki ijayo ninampango wa kumeet na mwingine huku nashawishika bado kupiga nyeto.Je ntaweza mzigo?
 
vp mkuu hii thread yako nadhani ulikua unaandika akati umelewa ka pombe zishaisha kichwani hebu jaribu kuipreview na uhakika uataona aibu kwa upuuzi uliotuletea tujadili hapa
 
Mkuu kama unakamua mademu na bado una hamu ya kupiga nyeto basi ni athari ya kisaikolojia..
Cha muhimu jitahidi uache manake itafika kipinda una mke ndani lakini ukawa hauridhiki naye mpaka upige nyeto..
Madhara yake physically ni pamoja na kupata uchovu haraka pale unapofanya kazi ngumu, na pia viungio hasa magoti kukosa nguvu. Psychologically ndo kama hivyo muda wote utataka kufanya..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…