Ndugu wana jf,mimi nimemalza fom six mwaka jana na kfanikiwa kufaulu vzur mchepuo wa HGL.ndoto yng n kuxoma degree ya business administration lakin nimeshndwa kpata vyuo nilivyokua nikivipenda kutokana na kua na F ya math katka necta ya fom four,na vyuo vng katka koz ya BBA wanataka uwe na pass ya math,nimefanya aplctn katka kozi hyo kwa vyuo vifuatavyo 1.MBEYA UNIVERSITY OF SCIENCE AN TECH(MUST) 2.CBE-DAR 3.T.I.A vyuo hvyo havna limit ya hexabu.sasa chuo cha must nlikiweka kama namba moja lakin waliopo hapo pamoja na vyuo vingine wamenshaur kua hcho sio chuo kizuri kwa masomo ya biashara,bora CBE na tayari deadline imeshapita,na mimi lengo langu nipate business education yenye quality ambayo naweza competit katka market,je nifanyeje?