Ni suala la muda tuDepression ni kukata tamaa baada kupitia hatua ya msongo wa mawazo - stress...... So kisaikolojia huna depression. Labda stress kidogo sana...
Back to topic huyo dada ndio mkeo period. Fanya yote ila hapo huchomoi
Bro everyone has his life path.Kuoa ni mzigo lakini baba ako aliubeba mpaka ukafika hapo.
Ukisoma habari vizuri ameonyesha hayuko interested na demu kabisaa.Kuna sehemu jamaa kasema hampendi mwanamke? Jamaa tatizo lake ni muda wa kuoa anaona bado haujafika
Tahadhari ni kwa wote.Kama hataki kuoa angechukua tahadhari zote, ikiwa pamoja na kutofanya mapenzi bila kondom.
Hajakimbia majukumu ila hajisikii kuoa.Hivi we unajua depression kweli? Sema tu hujajipanga usilete excuse za depression, wakati unakwichikwichi kavu utelezi ndio utamu wa amri ya sita ulikuwa hujui hayo?
Mwanaume wa kweli hakimbii majukumu
Acha kutafuta huruma ziso na msingi
Mwanaume majukumu, Mwanaume kupambana
Follow your heartSi kila wakati mambo yataenda kama vile tunavyotaka yawe.
Kwani ana kasoro gani ambayo unahisi itakuwa kikwazo kuwa mke wako? Kipi hasa unaona kinakuzuia usioe kwa sasa?
Mtazame mwanao then fanya maamuzi sahihi kwa ajili yako na yake.
Binafsi sipendi na wala sitarajii kuwa na watoto kwa mama tofauti. Familia mzuri ni ile mnakuwa pamoja. Wazazi na watoto wa pamoja. Bila mwingiliano sijui huyu mama yake fulani haipendezi.
Ndoa raha ila kwa umpendae.Sisi ndo wanawake mdogo wangu.
Once we have our eyes on a good man with potential tutamuingiza kingi tu.
Sasa depression ya nini ndugu? You have a woman who has your child, loves you and loves your kids.... Jilipue uenjoy maisha ya ndoa.
Ndoa Raha, watoto ndo usiseme.
Ushawahi kuishi na mtu humpendi uone anavyokera? Akitembea anakukera, akila anakukera, akilala anakukera, akikuita anakukera hakuna kitu anaacha kukukera.Kumbuka " Ni rahisi kuvumilia kuishi na anae kupenda japo we humpendi kuliko kuishi na unaempenda ingali yeye hakupendi"
.
Choose wisely bruh!
I agree honey, but she sounds like a good woman. Anyway to each his own.Ndoa raha ila kwa umpendae.
Binafsi ilinitokea 2015 niligoma kabisa.
Na kwasasa kila mtu ana maisha yake.
Kaolewa ila mimi kuoa bado sanaa 31 kwangu sio umri wa kuoa huu.
Maswala ya muoe tu eti kisa nimemzalisha "alitumwa kunitegeshea?"
Mtoto nitalea vizuri tu ila mama ake "Kila mtu ale hamsini zake"
Mapenzi hayalazimishwi, huja automatically.
#YNWA
Mtu mwenyewe ndio huyo kama anataka kukimbiaHajakimbia majukumu ila hajisikii kuoa.
Mtoto analea KWANI HAYO SI MAJUKUMU TOSHA?
#YNWA
Kijana, ulimkuta huyu binti na kazi yake nzuri tu, very social, anaroho nzuri... lakini baada ya wiki akakuamini hadi kukuvulia nguo ukamla mchezo! Hapo naona utakuwa unamuonea huyo binti ukisema anakuwa karibu na wazazi wako baada ya kugundua ni wastaafu, kumbuka wakati unamla mchezo baada ya kufahamiana kwa wiki moja tu alikuwa hawafahamu wazi wako! Kawafahamu wazazi wako baada ya kumpa ujauzito! She loves you, weka huyo binti ndani na umpongeze kwa kumfungulia biashara kwa sababu mnajiweza! Yeye afanye kazi ndogo tu na majukumu yake yawe madogo pia (ili apate muda wa kuangalia familia) labda ahakikishe familia inakula kila siku kutoka kwenye kazi yake, ila wewe unabaki na majukumu mengine makubwa kama kulipa ada za shule, mavazi, hospitali, nk. Maisha safi kabisa aise!Mwaka jana mwanzoni kuna binti nilikutana nae maeneo ya mjini, ni mzuri sana na ana kazi yake nzuri tu, very social na ana roho nzuri sana tulibadilishana contacts baadae tukaanza kuwasiliana na baada ya kama wiki tukafanya mapenzi.
Nimeona money... Nikajua moneypen kumbe moneyman, ngoja nirudi nisome vizuri halafu nitoe ushauri sas.Mimi ni kijana, miaka 27. Ninaishi na kufanya kazi mkoani nyanda za juu kusini huku. Nina kazi nzuri na vibiashara vya hapa na pale vya kuniweka mjini. Nilikua na malengo mengi sana na swala la kuoa sikua nimelipanga kwa sasa. Sikua na uhusiano wowote serious.
Mwaka jana mwanzoni kuna binti nilikutana nae maeneo ya mjini, ni mzuri sana na ana kazi yake nzuri tu, very social na ana roho nzuri sana tulibadilishana contacts baadae tukaanza kuwasiliana na baada ya kama wiki tukafanya mapenzi.
Alionesha kunipenda toka tunakutana. Akataka tuendelee na uhusiano, nikamwambia sawa lakini nikamfahamisha kuwa mimi sina mpango wa kuoa hivi karibuni so kama ana mtafuta mwanaume wa maisha yake sio mimi kwa sasa.
Alilia sana siku ile nikajua tumeshaachana. Lakini baadae akanitafuta na kuniambia hana shida tuendelee.
Tukapima na kuendelea na uhusiano. Mara ya kwanza tulitumia kinga. Nkaona ili twende sawa, nijue mzunguko wake wa mwezi na lini yupo safe na lini yupo danger.
Baada ya miezi miwili akaniambia ana mimba ya wiki 3. Nikivuta picha katika hyo wiki ya kutunga mimba nilionana nae mara moja tu, nlikua busy sana na mdogo wangu alikua amekuja kwangu kipindi hicho, hyo siku alilazimisha sana tuonane na kunihakikishia kuwa yupo safe mpaka ikabidi twende lodge. Kwake alikua anaishi na binamu yake.
Nkapata picha either mimba sio yangu au kanitegeshea. Nkamuita nkakaa nae chini na kuongea nae kwa kirefu sana. Nkamuambia kama mtoto sio wangu ntajua tu na hakuna kitakachoendelea kati yetu. Na hata kama ni wangu, siwezi kubadilisha plan zangu za maisha so asiwaze kabisa kama ataolewa coz amebeba mimba. Alichoniambia ni kuwa mimba ni yangu na anaomba walau shangazi yake aliekua anaishi huku mkoani anifahamu ili tumbo likitokeza atleast kuwe na idea ya aliempa mimba. ( kwa huyu shangaz yake ndo alikokua anaishi alipokuja kuripoti kazini kabla ya kupanga na binti wa huyo shangazi). Nkamuambia sawa lakini sijawahi kwenda huko wala kwao mpaka leo.
Nilifanya uchunguzi wangu mkali lakini sikuona kama kuna dalili yoyote kama mimba si yangu. Nkaona mtoto akizaliwa tutajua. Ilivofika miezi saba nilimshirikisha mama. Mama akasema anataka amuone. Nkamuomba mama aje na kweli alikuja na akaonana nae. Alipojifungua alienda kwao na gharama zote mimi ndo nlihusika na mpaka sasa nahusika. Baada ya kumaliza uzazi wazee wangu hasa baba wakataka wamuone yeye na mtoto, uzuri wote ni wastaafu so walikuja wakamuona. Tunaishi mkoa mmoja wilaya tofauti so wanakuja na kuondoka siku hyo hyo.
Huyu binti alivoona wazee wangu ni wastaafu na sisi watoto wote tuna kazi zetu na tupo busy sana na maisha akajiweka karibu nao. Weekends anaenda kushinda huko full kuwapikia na kuwafanyia mambo mengi. Mimi nilikua sijui coz siishi nae na huwa niko busy sana. Ratiba yangu ya kuonana na wazee ni mara moja kwa mwezi au sometimes kwa miezi miwili naenda mara moja. Changamoto ni kuwa wazee wamemuelewa sana na wananilazimisha niishi nae, na yeye kakomaa muda wote analia anataka aje tuanze maisha, home kwao nao wamechachamaa wanataka nikajitambulishe na nitoe posa.
I feel conerned, coz haya mambo hayakuwa plani yangu na najua huyu binti kanitegeshea mimba makusudi ili aolewe na ana wanipulate wazee wangu ili wawe upande wake. Mtoto najua ni wangu coz tunafanana sana, kachukua kila kitu kwangu. Nawaza sana kuhusu hili swala mpaka nmeanza ku apply kazi nje ya huu mkoa nikaanze upya.
I wish nipate mawazo tofauti labda ntajua cha kufanya.
Huyu jamaa aache ushamba unapigaje demu usiyempenda kila siku? Mademu usioweza kuwaoa unapiga mara moja unasepa na hupigi pekuHuu ushauri nimeulewa sana
Kuna mambo mawili nitakushauri.
1. Wewe ndio utaishi naye. Kwa hio usifanye uamuzi mzito huu kwa kishinikizwa na Yeyote. Fuata moyo wako. Na kama moyo wako unasema hapana, basi Simama imara hapo. Sio wazazi wako, au wazazi wake, au yeye akushinikize. Maamuzi kama hayo ukifuata moyo wako. hautajuta hata siku moja.
Acheni ushamba wenu wa kupiga pekupeku, demu usiyempenda unaendanae kupima ili iweje?Miaka 27 wanamnang'a sijui mbinafsi sijui anakimbia majukumu..
1. Nani kawaambia usipompenda mtu ni ubinafsi.
Ni kujiweka huru tosha.
Navyokwanbia "sikupendi" it means nimekuweka wazi na siwezi act kwamba sikupendi.
2. Anakimbia majukumu.
Kwani hizo biashara zake Hazina majukumu.
Yaani hawa vijana wa 30's na 20's walioa huwa wanajiona wako so special mbele ya ma single boy.
Yaani wanaona sisi ambao hatujaoa kama tumekosea halafu hatujui maisha.
Kuoa ni mipango na ridhaa ya moyo.
Mwamba moyo haupo tayari kuoa basii ASIOE.
#YNWA
Ataingia anapopenda wakati yeye hapendwi, atajutaMaoni yangu ni haya:
Usioe mtu usiempenda, utasumbuka mbeleni. Tamaa imekuponza Ila maamuzi yako yashikilie na uyatetee.
Ndoa nyingi zinavunjika huku zingine zikipumulia oxygen. Tunza mtoto wako, sameheaneni mlipokoseana,maisha yaendelee.
CD