Step by step
JF-Expert Member
- Apr 28, 2014
- 1,164
- 1,293
Hakuna dhambi mbaya kama kumuoa mwanamke kisa tu umezaa nae. Mahusiano hayo huambatana na majuto na mateso. Oa mtu kwasababu unampenda, una hisia nae na ukimuona tu unahisi kumfurahia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa kuna kitu kaka. Ushauri wako ntaufanyia kaziKuna mambo mawili nitakushauri.
1. Wewe ndio utaishi naye. Kwa hio usifanye uamuzi mzito huu kwa kishinikizwa na Yeyote. Fuata moyo wako. Na kama moyo wako unasema hapana, basi Simama imara hapo. Sio wazazi wako, au wazazi wake, au yeye akushinikize. Maamuzi kama hayo ukifuata moyo wako. hautajuta hata siku moja.
2. Mchukue tu kama mke. Japo moyo haujaridhika. Ila mwanzishie mradi auendeleze. Na hapo ujue utachepuka sana sababu roho haijatulia kwa huyo. Itabidi akuvumilie tu kwa hilo.
Kweli mkuuMkuu, jibu ni: Sio lazima. Na Sio lazima sasa hivi.
Kwanza aliyekwambia akizaa ndio hapo hapo unaoa ni nani?
Huhitaji kufanya maamuzi sasa hivi. Lea mwanao, mjali mama yake.
Mwisho wa siku kama mapenzi yapo yapo na kama hayapo hayapo tu. Hata yeye mwnyw atajua tu fungu sio lake. Kwa sasa usiwe na presha.
Watu wameoa wazazi wenzao after years wakati mtoto kashakuwa, wewe mtoto kazaliwa juzi tu unawaza ndoa?
Japo binafsi natamani ungemuoa huyo binti. Ila ushauri wangu ndio kama hapo juu. Sio lazima. Na sio lazima sasa hvi.
Mkuu mbona umekomaa na umri wa miaka 27? Huyu ni mtu mzima Unataka aje aoe na miaka mingapiKutokuao ndio kukimbia majukumu.
Hajisikii kuoa, mnataka kumlazimisha.
Miaka 27 anakimbilia wapi?
Kuoa ni mzigo.
#YNWA
Hapo mwisho ndio ulipoharibuDepression ya nini? Wakati unafanya mpenzi bila kondom ulitegemea nini kijana?
Acha kukimbia majukumu, na uache kuchezea mabinti bila sababu za msingi, kaa uoe, maana utaishia kutengeneza idadi kubwa ya watoto wa nje bila sababu.
Acha woga ndoa tamu sana!
Napima tu ili nipige.Acheni ushamba wenu wa kupiga pekupeku, demu usiyempenda unaendanae kupima ili iweje?
Nina miaka 31 na sina mpango.Mkuu mbona umekomaa na umri wa miaka 27? Huyu ni mtu mzima Unataka aje aoe na miaka mingapi
We subiri uoe kwanza ndio utoe ushauri kwenye mada kama hizi. Acha wenye experience na ndoa watoe ushauri. Naona umevalia njuga asioe asioe, unajua uchungu wa mtoto alielelewa na mzazi mmoja wewe? Man up.Ndoa raha ila kwa umpendae.
Binafsi ilinitokea 2015 niligoma kabisa.
Na kwasasa kila mtu ana maisha yake.
Kaolewa ila mimi kuoa bado sanaa 31 kwangu sio umri wa kuoa huu.
Maswala ya muoe tu eti kisa nimemzalisha "alitumwa kunitegeshea?"
Mtoto nitalea vizuri tu ila mama ake "Kila mtu ale hamsini zake"
Mapenzi hayalazimishwi, huja automatically.
#YNWA
Yap Nina watoto wawili mmoja miaka 5 na mwengine 3 na wotee nawalea vizuri tu.We subiri uoe kwanza ndio utoe ushauri kwenye mada kama hizi. Acha wenye experience na ndoa watoe ushauri. Naona umevalia njuga asioe asioe, unajua uchungu wa mtoto alielelewa na mzazi mmoja wewe? Man up.
Sasa wewe hufai kumshauri huyu mtoa mada ushafeli, tena ukute hapo kila mtoto na mama yake. Unadhani utakuwa na familia ya namna gani? Sahau familia bora hapo.Yap Nina watoto wawili mmoja miaka 5 na mwengine 3 na wotee nawalea vizuri tu.
#YNWA