Msaada wa kimawazo nimalize Deni la sh. 9M

Msaada wa kimawazo nimalize Deni la sh. 9M

Habari wana JF , nina Deni la 9M linanisumbua sana ili niweze kilimaliza nna hitaji kila mwezi nipate 900k lasivyo litazidi ongezeka .

Wana JF hapa mfukoni nna 2.2 M nifanye shughuli gani inisaidie kulimaliza maana linaongezeka na mimi kibanda changu cha M pesa /tigo/airtel na halo pesa kina uwezo wa kuniingizia 200-250 k kwa mwezi na kwa sasa sina Kazi .?
Huwezi kutumia hizo 2.2m kukuza mtaji wako ukakupa zaidi ya 250k kwa mwezi?
 
Ukisikia kukopa sherehe, kulipa matanga! Ndiyo hii sasa.

Mimi kiukweli sina mchango wowote. Maana hata utaratibu wenu wa kulilipa hilo deni tu, siufahamu.
 
Habari wana JF , nina Deni la 9M linanisumbua sana ili niweze kilimaliza nna hitaji kila mwezi nipate 900k lasivyo litazidi ongezeka .

Wana JF hapa mfukoni nna 2.2 M nifanye shughuli gani inisaidie kulimaliza maana linaongezeka na mimi kibanda changu cha M pesa /tigo/airtel na halo pesa kina uwezo wa kuniingizia 200-250 k kwa mwezi na kwa sasa sina Kazi .?

Kwa sababu una uzoefu na hizo mpesa basi fanya mpango ufungue zingine sehemu nyingine zilizo changamka au mkoa mwingine!
 
Habari wana JF , nina Deni la 9M linanisumbua sana ili niweze kilimaliza nna hitaji kila mwezi nipate 900k lasivyo litazidi ongezeka .

Wana JF hapa mfukoni nna 2.2 M nifanye shughuli gani inisaidie kulimaliza maana linaongezeka na mimi kibanda changu cha M pesa /tigo/airtel na halo pesa kina uwezo wa kuniingizia 200-250 k kwa mwezi na kwa sasa sina Kazi .?
Kaandishe sensa
 
Chagua timu 4 weka hela,utanikumbuka,nenda Sporty Bet
Screenshot_20220712-115528.jpg
 
Back
Top Bottom