Huwezi kutumia hizo 2.2m kukuza mtaji wako ukakupa zaidi ya 250k kwa mwezi?Habari wana JF , nina Deni la 9M linanisumbua sana ili niweze kilimaliza nna hitaji kila mwezi nipate 900k lasivyo litazidi ongezeka .
Wana JF hapa mfukoni nna 2.2 M nifanye shughuli gani inisaidie kulimaliza maana linaongezeka na mimi kibanda changu cha M pesa /tigo/airtel na halo pesa kina uwezo wa kuniingizia 200-250 k kwa mwezi na kwa sasa sina Kazi .?
Habari wana JF , nina Deni la 9M linanisumbua sana ili niweze kilimaliza nna hitaji kila mwezi nipate 900k lasivyo litazidi ongezeka .
Wana JF hapa mfukoni nna 2.2 M nifanye shughuli gani inisaidie kulimaliza maana linaongezeka na mimi kibanda changu cha M pesa /tigo/airtel na halo pesa kina uwezo wa kuniingizia 200-250 k kwa mwezi na kwa sasa sina Kazi .?
Kaandishe sensaHabari wana JF , nina Deni la 9M linanisumbua sana ili niweze kilimaliza nna hitaji kila mwezi nipate 900k lasivyo litazidi ongezeka .
Wana JF hapa mfukoni nna 2.2 M nifanye shughuli gani inisaidie kulimaliza maana linaongezeka na mimi kibanda changu cha M pesa /tigo/airtel na halo pesa kina uwezo wa kuniingizia 200-250 k kwa mwezi na kwa sasa sina Kazi .?
Ww nae uwe unasoma unaelewa,, acha kukurupukaKama unaingiza laki 250 kwa siku unashindwaje kulipa hilo deni panga hesabu zako vizuri
Labda ntafute sehemu nyingine yenye mzunguko mkubwaHuwezi kutumia hizo 2.2m kukuza mtaji wako ukakupa zaidi ya 250k kwa mwezi?
Fanya hivyo kwasababu una uzoefu na hio biashara.Labda ntafute sehemu nyingine yenye mzunguko mkubwa
Asante sana inaweza ikanisaidia maana hii kazi nna uzoefu nayo sema nlishachanganyikiwaHuwezi kutumia hizo 2.2m kukuza mtaji wako ukakupa zaidi ya 250k kwa mwezi?
HahahaaChagua timu 4 weka hela,utanikumbuka,nenda Sporty BetView attachment 2287864
Asante sanaKwa sababu una uzoefu na hizo mpesa basi fanya mpango ufungue zingine sehemu nyingine zilizo changamka au mkoa mwingine!
Mbona imeelewekaUna maana gani mkuu? Fafanua kidogo hapo!