Msaada wa kimawazo

Msaada wa kimawazo

Habari yako mwana jf

Baba yangu alibahatika kuwa na mali nyingi sana na kwetu tumezaliwa wachache watu wa nne tu,

Sasa mzee ili kuondoka utata ameamua kugawa mali ingali yupo hai Mimi nimepata mgao wa nyumba ya kuishi pamoja na kiasi kama million 50

Kwa upane wa elimu nina degree ya agribusiness kutokea SUA
Pia binafsi sina background yoyote ya kufanya biashara maana mda mwingi nimetumia shuleni

Niliwaza hii pesa niiweke UTT baada ya kuisoma na kuifatilia Sana lakini changamoto inakuja nahofia usalama wa pesa yangu huko UTT hasa hasa kwenye nchi yetu hii ambayo kiongozi anaweza amua chochote mda wowote.

Naombeni ushauri je naweza anzia wapi katika uwekezaji.
Na je UTT ni salama mathalani kwa miaka 30 ijayo. Umri wangu ni miaka 25.

Pia ningeomba Kwa wenye kujua zaidi ni mkoa gani au eneo gani Tanzania ni zuri Kwa mtu mwenye mtaji kuanza biashara na biashara ipi inaweza kuwa na rejesho zuri.
Asanteni


Chai.
 
Mkuu mwezi wa 6 nilienda kahama tulikua tunasomba tumbaku kutoka vijijini tunaipeleka mjini kahama kwenye makampuni yanayonunua, aisee wale vijana wa vijijini wanapiga hela balaa na tumbaku inanunuliwa kwa dollar, nikasema ipo siku nitaifanya.
Ndohvo ni biashara nzur
 
Mawazo ni mengi Ila kitu kizuri kuzidi vyote ni kuongeza umakini zaidi.

Ushauri
Tumia muda mwingi kufanya UTAFITI kwa kuingia FIELD pasipo kuwekeza chochote kwanza.

Unaweza kuanza kujitolea katika BIASHARA ya MTU kwa lengo la ku-gain Experience and exposure.

Katika biashara unashauriwa kufanya ambayo unaijua means ambayo Una experience nayo.

So Pesa au hela hakikisha unaipitisha ktk hizi hatua

Earn
Manage
Multiply
 
Habari yako mwana jf

Baba yangu alibahatika kuwa na mali nyingi sana na kwetu tumezaliwa wachache watu wa nne tu,

Sasa mzee ili kuondoka utata ameamua kugawa mali ingali yupo hai Mimi nimepata mgao wa nyumba ya kuishi pamoja na kiasi kama million 50

Kwa upane wa elimu nina degree ya agribusiness kutokea SUA
Pia binafsi sina background yoyote ya kufanya biashara maana mda mwingi nimetumia shuleni

Niliwaza hii pesa niiweke UTT baada ya kuisoma na kuifatilia Sana lakini changamoto inakuja nahofia usalama wa pesa yangu huko UTT hasa hasa kwenye nchi yetu hii ambayo kiongozi anaweza amua chochote mda wowote.

Naombeni ushauri je naweza anzia wapi katika uwekezaji.
Na je UTT ni salama mathalani kwa miaka 30 ijayo. Umri wangu ni miaka 25.

Pia ningeomba Kwa wenye kujua zaidi ni mkoa gani au eneo gani Tanzania ni zuri Kwa mtu mwenye mtaji kuanza biashara na biashara ipi inaweza kuwa na rejesho zuri.
Asanteni


Tupia 45M yote UTT kama hujui biashara usifanye invest passively. ikibaki 5M jaribu ku deal na Kilimo as umesomea hayo mambo. Kodi shamba na weka mtaji wa less than M, itumie hiyo kujifunzia.

Endelea kujifunza kuhusu passive investment zingine, kama Hisa etc

All the best man
 
Usirogwe utt it's better uweke fixed account kama 40mil then 10mil nenda tabora miezi ya kwanzia mwez wa 3 mpka 5 ununue tumbaku ikiwa tayr imekaushwa ipo kwenye vishada nunua kwa kupoint then uiuze kwenye masoko mda wa masoko ukifika ni uhakika haina ugai gai unapiga pesa zako unatulia
Nipe huu mchongo unavyokuwa
 
Kwa uzoefu wa elimu yako wengi ndo wameajiliwa uko agricom, pass trust na kadharika hivyo unaweza jiajili huko ukaanza small company ukiendelea kujifunza pia nyumba ikiwa Ini good condition ijazie vitu muhimu iendelee kuwa ya kisasa
 
sio wote mimi ni mrugaruga nilikua mkulima meru kiranyi nikaja darisalam nikawa mbeba tofali sasa niko mochwari dunia ya pili.
Sasa km wewe mkulima si uendelee na kilimo mahi 😹😹
 
nakushauri tafuta mentors au experienced business coaches wazuri wakuongoze mkuu. Kuwa na hela nyingi bila feasible plan on hand utajikuta zinakupangia matumizi zenyewe
 
Kuna usemi unaosema mtoto wa nyoka ni nyoka,namanisha kuwa kama baba yako ni tajiri ni mtu mwenye uwezo mzuri mpaka ameweza kukugawia kiasi hicho cha pesa pamoja na nyumba,fuatilia mbinu na njia anazozitumia baba yako ambazo zimemtajirisha mpaka amekuwa na uwezo wa kuwagawia fedha na nyumba.
 
daaah...niwe mkweli mwisho wa hera nilioiona kwa macho yangu ni 1.5...........hongera
sina cha kukushauri ndg yangu kila la heri hyo hera naonaga t inatajwa na sijui kama ntawah kuiona
kila la heri! dah
 
Back
Top Bottom