Chagaboy93
Member
- Jan 21, 2017
- 14
- 8
Wakuu habarini za wakati huu.
Nimeenda Muhimbili wameniandikia kipimo cha OGD. Kwa ninavyosikia hiki kipimo maumivu yake ni hatari. Naombeni msaada kama huwa kuna mbadala wake. Shida yangu kubwa ni maumivu ya kifua ya muda mrefu ila pia nimegundulika kuwa na vidonda vya tumbo.
Nilipewa dozi ikaisha ila hali bado iko palepale. Bad enough nimekuja kupata pia tatizo la koo kuuma kwa zaidi ya wiki tatu nikimeza kitu napata maumivu.Hali hii inanipa waswas mkubwa.
Nimeenda Muhimbili wameniandikia kipimo cha OGD. Kwa ninavyosikia hiki kipimo maumivu yake ni hatari. Naombeni msaada kama huwa kuna mbadala wake. Shida yangu kubwa ni maumivu ya kifua ya muda mrefu ila pia nimegundulika kuwa na vidonda vya tumbo.
Nilipewa dozi ikaisha ila hali bado iko palepale. Bad enough nimekuja kupata pia tatizo la koo kuuma kwa zaidi ya wiki tatu nikimeza kitu napata maumivu.Hali hii inanipa waswas mkubwa.