Msaada wa kisheria ATM card yangu imemezwa NMB

Msaada wa kisheria ATM card yangu imemezwa NMB

jorojo

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2012
Posts
1,642
Reaction score
11
Wadau poleni na majukumu ya kila siku Leo nilikua nataka kujua haki yangu kisheria maana ijumaa iliyopita katika harakati zangu za kibiashara nilijikuta kazi zangu zimesuasua kweli kweli maana ATM card yangu ilimezwa katika branch moja hivi sasa mimi ninahaki gani kisheria katika hili, na je nikiishtaki beki naweza pewa fidia kwa usumbufu niliopata ebu naombeni ushauri katika hili
 
watakukwepa kwa kukiuka masharti ya atm machine ndiyo maana kadi imemezwa
 
Unataka kadi yako au unatka upate pesa bila kuvuja jasho eti ukaishtak bank.
kama unataka kadi nenda kwnye taw la bank husika popote watakpa kad yako au watakutngnezea kad nyingne.
 
Hapo ndio napokuja kugundua ndio maana mawaziri wanachukua fedha kama zao hapa Tzee...
Maana hamna changamoto ya fikra hata kidogo kwa sie raia...sasa huyu anataka akaishtaki benki kisa kadi yake imemezwa hajagundua imemezwa kwa nn na iweje imezwe yake tuu...
waache wale fedha kina jamaa hamna kitu Tzee...just kidding but serious!!!
 
siku hizi masharti yamekwa magumu sana NBC hurudishiwi unatengenezewa nyingine na kila kadi mpya inachajiwa, umekuwa mradi
 
Ndugu tambua ulivyofungua akaunti kwenye benki husika kuna kitu kinaitwa "terms of contract" ni masharti ambayo sahii yako iliafiki kuyafuata.

Sasa tambua benki mayo itajilinda kwa swala husika kupitia hivyo vifungu vya mkataba, kwa hiyo kabla hujafikiria kufanya hicho unachotaka kufanya tafuta kuelewa kwanza terms of contract.

Pili, embu jiulize unataka kuishtaki benki kwa kadi yako kumezwa au kuna vitu vingine. Kwa uzoefu wangu hata kadi ikimezwa bado ulikua na uwezo wa kupata pesa kupitia dirishani japo ungepata usumbufu wa foleni na pamoja na kuombwa kitambulisho kingine.

Jua pia kuishtaki benki itakubidi uwe na wakili wa kukusimamia ambapo hizo ni gharama nyingine hizo.

#think smart, act smart#
 
Wadau poleni na majukumu ya kila siku Leo nilikua nataka kujua haki yangu kisheria maana ijumaa iliyopita katika harakati zangu za kibiashara nilijikuta kazi zangu zimesuasua kweli kweli maana ATM card yangu ilimezwa katika branch moja hivi sasa mimi ninahaki gani kisheria katika hili, na je nikiishtaki beki naweza pewa fidia kwa usumbufu niliopata ebu naombeni ushauri katika hili

Hata Hakimu atakushangaa, maana kadi humezwa ili kukulinda wewe usiibiwe. Kama kadi yako ilimezwa ina maana eidha ulikosea pin number zaidi ya mara moja, au kuna jambo au labda ulikuwa unatumia kadi ambayo haikubaliki, ime-expire. Kumbuka kadi zina expiry date. Na pia inawezekana kuna wakati ulitoa taarifa kadi yako imepotea - au labda kuna mtu ambae anajua details zako amejifanya ni wewe na kupiga simu bank kwamba kadi imepotea. Usije ukawa ulimnyima mamaa hela za sikukuu akaamua kukufanyizia!

Hivyo fanya utafiti kabla ya kufikiria kuishitaki bank
 
Duh, ila cie wabongo tumezidi mno kutaka vitu vya chee, think big before you act....
 
Tatizo huwa hatusomi terms and conditions tunapokuwa tuna saini kupata hivi vitu
 
Back
Top Bottom