Benaire
JF-Expert Member
- Dec 13, 2011
- 1,962
- 311
Kuna mtu mmoja alifoji saini ya bosi wake ili aweze kujipatia fedha.
Taasisi hiyo ikachukua hatua ya kumfukuza kazi....lakini nimesikia kuwa wamemfungulia mashtaka kwa kosa hilo hilo.
Je hapa kisheria imekaaje hii....naomba msaada wenu wajuvi wa sheria.
Taasisi hiyo ikachukua hatua ya kumfukuza kazi....lakini nimesikia kuwa wamemfungulia mashtaka kwa kosa hilo hilo.
Je hapa kisheria imekaaje hii....naomba msaada wenu wajuvi wa sheria.