Ninachofahamu mimi kunasheria ya kuwasaidia police kwenye upelelezi na police huwa wanaruhusiwa kumkamata mtu yyte ambaye anaweza kuwapa data fulani na kisha kumuachia, hvyo baba hatoshitakiwa ila wakimuitaji police watakuja kumfuata na watamuhoji na hki bidi watamuweka ndani ata cku 1