Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu mimi sijaoa, je hyo mission yao ya kwenda kwa mtendaji endapo watanijua, itakuwa na impacts zipi.?Kwa sasa nakushauri sana, uishi kwa tahadhari pia epuka maeneo hatarishi maana kumbandulia mtu mke inauma sana pia mke wa mtu mtamu sana kulikoni mke wako!
Mkuu sisi wa mkoa wa Mara hatuko hivyo yani mimi kumuacha mwanamke akizingua ni kawaida sana. Huyo mwanaume atakua amelogwa, kwanza jambo liko wazi yeye anaita wazazi ili iweje. Ni jambo la kijinga sana mwanaume kukosa maamuzi.Huyu mwanaume n msukuma anaeishi mkoa wa mara..... Sasa mkuu, kukamata msg kwenye cm ya mkeo akisema, "baby nakuja,"" namimi namwambia pitia ile njia ya siku ile nipo sehem fulan" na akaja kweli, hyo ilikuwa saa1:30 usiku, kwa kitendo hcho, dem aliporudi akakwapuliwa cm ili kujua alikuwa wapi, kwahayo yanatosha kuthibitisha na kuamua muachane?
Akikukamata anakuf.....ra tu basi siki hizi wala hawatakagi ujinga!!Hapana mkuu, mchepuko wangu ndio umekamatiwa cm, alafu nimepita mitaa fulan jamaa kanipiga jicho hatari sana mpaka nikajifanya naongea na cm ili nipite mtaa huo....
Pamoja na hayo tujikite kwenye mada.
Mkuu unakuta huna usawa wa kupiga simu kila siku, alafu kwa kumuangalia kuna kitu fulan anamiss hvo anachepuka ili apate kitu hcho, bila shaka hapati faraja ndan kwake, maana muda mwingne hata akienda chooni anaenda na cm mnachart kidogooo,,,,!! Mumewe anapenda sana kucheck mpira, inamaana muda mwingine hata saa5 za ucku mume akiwa seblen mke mtu ananishtua tunachart kidogo na mpira ukiisha na kuchart kunaisha,Kwa sasa nakushauri sana, uishi kwa tahadhari pia epuka maeneo hatarishi maana kumbandulia mtu mke inauma sana pia mke wa mtu mtamu sana kulikoni mke wako!
Pia epuka kuchat na mke wa mtu pendelea kupiga cm direct talk ili kuepusha ushaidi.
Kabisa maana mke naye kanikana kuwa hanijui, japo walimlazimisha walau aseme huyo mtu ni nani lakini hakusema.Nijuavyo Mimi mpaka ukamatwe ukiwa nae katika mazingira ya ugoni hapo itakua na nguvu kisheria lakini hapo ni suala la kuhisiwa unaweza kataa kua nili wrong namba namhusika hakunieleza kua sie
Mbaya zaidi hana busara, badala ya kuwaita wazazi wa binti huyu mrisya yeye akaita baba na mama yake mzazi, yaan wazaz wa mume.Mkuu sisi wa mkoa wa Mara hatuko hivyo yani mimi kumuacha mwanamke akizingua ni kawaida sana. Huyo mwanaume atakua amelogwa, kwanza jambo liko wazi yeye anaita wazazi ili iweje. Ni jambo la kijinga sana mwanaume kukosa maamuzi.
Pia kaoa mke mzuri na mke ni mjanja kuliko mwanaume.Mkuu sisi wa mkoa wa Mara hatuko hivyo yani mimi kumuacha mwanamke akizingua ni kawaida sana. Huyo mwanaume atakua amelogwa, kwanza jambo liko wazi yeye anaita wazazi ili iweje. Ni jambo la kijinga sana mwanaume kukosa maamuzi.