everlenk
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 11,628
- 15,027
Habari za jioni wanasheria !!
Ndugu wanajukwaa nimekuja kwenu naamini hapa nitapata msaada,Nina ndugu yangu ambaye mume wake ametangulia mbele ya haki,Enzi za uhai wake marehemu alijaliwa kuwa na Mali kadhaa ambazo zote aliziandika majina ya ndugu zake,mama aliyeachwa ni mama wa nyumbani amebaki hana matunzo yoyote toka kwa familia,ameachiwa watoto watano,afanyeje angalau aweze kupata chochote kutoka kwenye Mali za mumewe ili aweze kuwatunza watoto wake, Marehemu hakuacha wosia wowote .
Natanguliza shukrani zangu za dhati.
Ndugu wanajukwaa nimekuja kwenu naamini hapa nitapata msaada,Nina ndugu yangu ambaye mume wake ametangulia mbele ya haki,Enzi za uhai wake marehemu alijaliwa kuwa na Mali kadhaa ambazo zote aliziandika majina ya ndugu zake,mama aliyeachwa ni mama wa nyumbani amebaki hana matunzo yoyote toka kwa familia,ameachiwa watoto watano,afanyeje angalau aweze kupata chochote kutoka kwenye Mali za mumewe ili aweze kuwatunza watoto wake, Marehemu hakuacha wosia wowote .
Natanguliza shukrani zangu za dhati.