Mpambalachuma
JF-Expert Member
- Apr 4, 2015
- 362
- 44
Wakuu, mim mzee wangu alitukanwa na kudhalilishwa, baada ya hapo akashitakiwa mahakama ya mwanzo lkn akashinda kesi hiyo, cha ajabu mlalamikaji anadai hakuridhishwa na mahakama hivyo kakata Rufaa, so naomba mnisaidie hapo kesi itakuwaje!?