The Transporter
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 3,580
- 7,203
Habari za jumapili wadau,
niende kwenye hoja moja kwa moja
nilibahatika kununua kaeneo sehemu aliyeniuzi sasa ni marehemu Mungu kampenda zaidi ila yeye halikuwa eneo lake alikabithiwa tu kuuza na mwenye eneo kwa makubaliano ya kupeleka salio kwa muhusika inasemeka marehemu hakuwa anapeleka salio kwa muhusika japo wakati anatuuzia muhusika alikuwa anakuja na hajawahi kusema chochote zaid ya miaka mitano maana hakai mbali na ana mwanae pia hakai mbali na eneo lililouzwa ila baada ya aliyeuza kufa anataka kuja kudai eneo lake na eneo limeshakuwa mji kisheria imekaaje hii?
niende kwenye hoja moja kwa moja
nilibahatika kununua kaeneo sehemu aliyeniuzi sasa ni marehemu Mungu kampenda zaidi ila yeye halikuwa eneo lake alikabithiwa tu kuuza na mwenye eneo kwa makubaliano ya kupeleka salio kwa muhusika inasemeka marehemu hakuwa anapeleka salio kwa muhusika japo wakati anatuuzia muhusika alikuwa anakuja na hajawahi kusema chochote zaid ya miaka mitano maana hakai mbali na ana mwanae pia hakai mbali na eneo lililouzwa ila baada ya aliyeuza kufa anataka kuja kudai eneo lake na eneo limeshakuwa mji kisheria imekaaje hii?