Msaada wa kisheria kuhusu ardhi

seannockward

New Member
Joined
Dec 26, 2018
Posts
1
Reaction score
1
Mimi ni mkulima kila mwaka majirani zangu wamekuwa wakilima mashamba yao kwa kutumia ng'ombe.tatizo wanavukisha na kukanyaga shamba langu hata kama tiyari nimepanda mazao

Nahitaji kujua sheria inasemaje kuhusu hili
 
Sheria hapo inasema, kabla ya kukanyaga shamba lako inabidi uwashauri wawavalishe hao ng'ombe viatu.
 
Mimi ni mkulima kila mwaka majirani zangu wamekuwa wakilima mashamba yao kwa kutumia ng'ombe.tatizo wanavukisha na kukanyaga shamba langu hata kama tiyari nimepanda mazao

Nahitaji kujua sheria inasemaje kuhusu hili
Mkuuu hapo ni maelewano yako tu na majirani achana na mambo ya kesi maana inaonesha unataka kuwafungulia migogoro majirani,mtafut balozi muelez haya na myamalize kwa hekima,unajua swal la kukanyagwa sio la makusudi Bali ni kukosekan kwa plan B kwa majirani,ulitaka wageuzie ngombe zao angani duuuu mkuuu badilik,ww ukanyagagi za wengine,unapotoka kwako hadi kazin kwak unakanyagaga arch yak tu sio ya wengine sio,kuwa huru haya maisha hayaitaji nguvu Bali hekima tu,ahsante
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…