Msaada wa kisheria kuhusu deni

Msaada wa kisheria kuhusu deni

Yodoki II

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2014
Posts
5,517
Reaction score
4,001
Salaam wana jukwaa!!Naomba msaada wa ushahuri wa kisheria wa namna ya kumshitaki mtu niliyemuuzıa malı zangu kwa mkopo lakıni amegoma kunilipa.Ni mfanyabiashara na ana uwezo wa kulipa deni ila anakataa makusudı na kudai kuwa hana hela na deni halifungi.Ni mamlaka zipi naweza kumfungulia mashtaka??Je anaweza kulazimishwa na mamlaka hizo kulipa?
 
Back
Top Bottom