hapo kuna mambo mawili. Huyo mwajiri wako anataka kuvunja 'the existing contract' au anataka kufanya 'addendum' kwenye hiyo existing contract? Akivunja mkataba, hilo ni kosa kisheria as per cap 345[r.e 2002] s.73 (1) na utapata mapesa ya kutosha tu ingawa hiyo itakua determined by the terms of ur contract. na ikiwa anataka kufanya marekebisho ya aina yoyote ktk mkataba wako (addendum), kisheria hiyo addendum ndio utakua mkataba wako mpya, na ni lazima kwenye mkataba kuwe na free consent of the parties, (yaani wewe na mwajiri wako), so sheria inasema mkataba wowote ambao mshiriki amelazimishwa kuu-sign ni batili. Free consent inaelezewa vizur ktk cap 345, s.14. Na vile ishu ya kusaini mkataba kwa matakwa yako ipo ktk section 10 ya cap 345. natumain umeelewa.