baina
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 219
- 59
Samahani wanasheria naomba kufahamishwa kuhusu tatizo hili,
Kuna mwajiri (jina kapuni) anataka kubadilisha/kufuta mikataba ya wafanyakazi wenye ajira ya kudumu (a contract for an unspecified period of time) na eti awaingize katika mikataba ya muda maalum.
Hapa nashindwa kuelewa kama sheria ya kazi inaruhusu au hapana, na kama hairuhusu je msingi wa kulipa utakuwaje, na anaweza kuwa anavunja sheria kama atafanya hivo?
Msaada wa haraka.
Kuna mwajiri (jina kapuni) anataka kubadilisha/kufuta mikataba ya wafanyakazi wenye ajira ya kudumu (a contract for an unspecified period of time) na eti awaingize katika mikataba ya muda maalum.
Hapa nashindwa kuelewa kama sheria ya kazi inaruhusu au hapana, na kama hairuhusu je msingi wa kulipa utakuwaje, na anaweza kuwa anavunja sheria kama atafanya hivo?
Msaada wa haraka.