Habari wana JF
Nimefanya kaz na kampuni moja binafsi katka project inayoitwa TSCP (Tanzania Strategic Cities Project), katika kazi hiyo tulikubaliana na mwajiri wetu kwa mdomo pasipo kuandikishiana popote kuwa tutalipwa mara baada ya kazi kuisha.
Tulimwamini kwa sababu tulishafanya nae kazi kwenye mradi kama huo sehemu nyngne na alitulipa bila matatizo though alichelewa kwa miez km mitatu hv.Sasa kwenye huu mrad wa huu mkoa mwingine yapata mwaka sasa hatak kutulipa ilhal twajua ameshalipwa serikarin.
Wadau mnaojua sheria tusaidien vipi tunaweza kupata haki yetu?
Nimefanya kaz na kampuni moja binafsi katka project inayoitwa TSCP (Tanzania Strategic Cities Project), katika kazi hiyo tulikubaliana na mwajiri wetu kwa mdomo pasipo kuandikishiana popote kuwa tutalipwa mara baada ya kazi kuisha.
Tulimwamini kwa sababu tulishafanya nae kazi kwenye mradi kama huo sehemu nyngne na alitulipa bila matatizo though alichelewa kwa miez km mitatu hv.Sasa kwenye huu mrad wa huu mkoa mwingine yapata mwaka sasa hatak kutulipa ilhal twajua ameshalipwa serikarin.
Wadau mnaojua sheria tusaidien vipi tunaweza kupata haki yetu?