texaz mc
JF-Expert Member
- Jan 15, 2016
- 371
- 205
Habari zenu wadau wote wa JF.
Kuna mtoto alifiwa na mama yake mzazi mwezi wa kwanza mwaka huu, sasa baada ya msiba kuisha mtoto huyo hadi leo hajawahi kushirikiswa kuhusu ugawaji wa mali ya mama yake. Msimamizi wa mirathi ambaye ni mjomba wake anataka kuuza nyumba ya mama wa huyo mtoto na wamekana kuwa MAREHEMU HAKUACHA MTOTO( YAANI HAKUWA NA MTOTO ).Ana umri wa miaka 17 sasa na anatarajia kuanza masomo ya advance mwaka huu, Usaidizi anaotaka ni kupiga stop uuzwaji wa hiyo nyumba kwana mpaka amalize advance then aje aendelee na hiyo kesi, je ni utaratibu gani afuate na aende wapi ili akamilishe mpango huo??? Na pia marehemu aliacha mali nyingine kama biashara lakini biashara hiyo bado inaendeshwa toka mwezi wa pili bila mtoto huyu kuhusishwa. MSAADA WENU UNAHITAJIKA PLZ
Kuna mtoto alifiwa na mama yake mzazi mwezi wa kwanza mwaka huu, sasa baada ya msiba kuisha mtoto huyo hadi leo hajawahi kushirikiswa kuhusu ugawaji wa mali ya mama yake. Msimamizi wa mirathi ambaye ni mjomba wake anataka kuuza nyumba ya mama wa huyo mtoto na wamekana kuwa MAREHEMU HAKUACHA MTOTO( YAANI HAKUWA NA MTOTO ).Ana umri wa miaka 17 sasa na anatarajia kuanza masomo ya advance mwaka huu, Usaidizi anaotaka ni kupiga stop uuzwaji wa hiyo nyumba kwana mpaka amalize advance then aje aendelee na hiyo kesi, je ni utaratibu gani afuate na aende wapi ili akamilishe mpango huo??? Na pia marehemu aliacha mali nyingine kama biashara lakini biashara hiyo bado inaendeshwa toka mwezi wa pili bila mtoto huyu kuhusishwa. MSAADA WENU UNAHITAJIKA PLZ