Mchina anashughulika na Uingizaji na utoaji mizigo kupitia bandari ya DsmAeleze ni kazi gani hiyo ya probation ya wiki mbili? Kuna implications katika muda wa probation as far as locus standi to get reliefs is concerned.
Otherwise naona hii kazi ina magumashi mengi! Na huyo mauajiri ana tatizo kubwa probably UKWEPAJI KODI.
Nimekuelewa vizuri, kilichonipanikisha n ile kuitosa kazi ingine ya mkoani sababu ya kwamba makazi yangu ya kudumu yapo mjini, sasa najaribu kurudi kwenye plan B (mkoani), naambiwa nafasi imeshajazwa na mtu mwingine, apo ndo nimeanza kuziona rangi za nyota, na kuona kama huyu amekua kama mchawi kwangu.HAPANA. Probation na terms zake zinapaswa kuwa kwenye MKATABA RASMI wa kazi.
Na kuna muda maalumu wa probation na masharti yake!
Ndio maana nikasema hapa panahitaji maelezo ya kina!...
waelevu wa maswala ya kisheria watatusaidia, japo ninavoelewa mm sio sahihi, lkn je ni nani anawajibika kwa kutokuwepo kwa mkataba, ni mwajili au muajiliwa.Je ni sahihi kuanza kufanya kazi pasipo mkataba ?
Wew una matatizo mwenye kazi kasema hufai unaanza kutafuta haki na mlikubaliana mi nadhan boss huyo aliona mbali badae ungemletea matatizo wewKuna Boss mmoja aliniita ofisini kwake kwamba kuna kazi anakwenda kunipatia.
Baada ya Usaili akanambia nianze na Probation wiki mbili, kisha atanipa mkataba lkn katika izo wiki mbili atakuw akinilipa kila wiki, na ni kweli alifanya hivyo.
Sasa katika izo wiki mbili nilikua chini ya muajiriwa wake, tulifanya kazi vizuri, zilipoisha wiki mbili akaniambia sifai ivo hatoweza kuendelea na mimi, na hatukuwa na mkataba wowote wa kimaandishi...
Aliyepaswa kudai mkataba ni nani? Why uone umuhimu wa mkataba baada ya kuachishwa kazi? Katika hizo wiki 2 kwa nini hukuona umuhimu wa mkataba?kwahiyo ni sahihi kuanza kufanya kazi pasipo ni mkataba?
Tatizo lipo kwako hukufanya maamuzi ya busara kwa kuangalia subject than objective. Ulipaswa kuangalia fursa zote mbili kwa ulinganifu wa mfano na utofauti then come up with sound conclusion.Nimekuelewa vizuri, kilichonipanikisha n ile kuitosa kazi ingine ya mkoani sababu ya kwamba makazi yangu ya kudumu yapo mjini, sasa najaribu kurudi kwenye plan B (mkoani), naambiwa nafasi imeshajazwa na mtu mwingine,,, apo ndo nimeanza kuziona rangi za nyota, na kuona kama huyu amekua kama mchawi kwangu.
...na VIP kama alikatisha mkataba ndani ya week moja..I,e before probabiliin period kuisha.Kama alikulipa kulingana na makubaliano, hujadhulumiwa.
Hapo yeye anaweza kusema kwa hizo wiki mbili, hujakidhi vigezo vya kupewa mkataba.
Yuko sahihi.
...na VIP kama alikatisha mkataba ndani ya week moja..I,e before probabiliin period kuisha.
Je,-kisheria imekaaje hiyo
Hakukuwa na mkataba hapo, haja sign chochote. Ilikuwa makubaliano ya mdomo ambayo kisheria hayafungi.
Mchina anashughulika na Uingizaji na utoaji mizigo kupitia bandari ya Dsm