Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu retired: Mimi ni miongoni mwa wanataaluma ambao napenda sana kujifunza na kushare Law field na wenzangu, coz naamini tunatofautiana AREAS OF INTEREST kwan sheria ni taaluma pana, kama taaluma zingine.Kwa nilivyoelewa na comments za FB zina suggest hivyo! Wrong or non citation are not detrimental to either party. After all the Judge is supposed to know the law without the aid of the advocated! Kama uko kwenye bar, seek further clarification on that from your fellows!
Seek a proper legal advise from a professional. Taarifa yako haijakamilika. Je mna mkataba halali, je wewe unaendesha kazi zako kwa mujibu wa sheria? Wamekwambia kwa maandishi kwa mdomo? Au unataka umshitaki nani? Mkuu wa shule? Bodi au mwenye shule=serikali? Usiwe na mkono wa birika seek a professional guidance.Ahsante mkuu na samahani kwa usumbufu, demand notice ndo inakuaje mkuu