RODRIGUEZ NORIEGA DUERTET
Member
- Mar 26, 2018
- 72
- 59
Habarini wana jamvi.
Ningependa kujua haki za kisheria za mwanachama wa mfuko wa jamii baada kufikia ukomo wa mkataba wake wa kazi na kukuta kampuni husika haikuwa ikipeleka mafao kwa zaidi ya mwaka.
Baada ya mkataba kuisha muda wake, mwanachama anataka kuchukua hela anakuta za mwaka mmoja huku mwingine mwaka mwingine haupo, baada ya kufuatilia kampuni kwa miezi kadhaa lakini mambo yanaonekana bado ni magumu.
Ni hatua gani mtu anatakiwa kuchukua? Na sheria ya Tanzania inasemaje kuhusu hili?
Msaada please.
Ningependa kujua haki za kisheria za mwanachama wa mfuko wa jamii baada kufikia ukomo wa mkataba wake wa kazi na kukuta kampuni husika haikuwa ikipeleka mafao kwa zaidi ya mwaka.
Baada ya mkataba kuisha muda wake, mwanachama anataka kuchukua hela anakuta za mwaka mmoja huku mwingine mwaka mwingine haupo, baada ya kufuatilia kampuni kwa miezi kadhaa lakini mambo yanaonekana bado ni magumu.
Ni hatua gani mtu anatakiwa kuchukua? Na sheria ya Tanzania inasemaje kuhusu hili?
Msaada please.