ok,..kama wewe ni 'me' nasema 'sorry', kama ni 'ke' comment yangu ni fair game.hayo sasa matusi mkuu
Sioni umuhimu wa kujadili hi post humu, kwanza inakiuka privacy ya mtu, na haileti mafundisho yoyote hapa, kwanza kumbuk mzee mengi ni msomi, na anamwanasheria wake bw michael ngalo, huyu ni mshaur wa maswala yote ya kisheria juu ya mzee na kampuni. Hakuna kilichovunjwa hapo, by the way naomba tujadili vitu vyenye tija kwa hili halituhusu.
ok,..kama wewe ni 'me' nasema 'sorry', kama ni 'ke' comment yangu ni fair game.
Sioni umuhimu wa kujadili hi post humu, kwanza inakiuka privacy ya mtu, na haileti mafundisho yoyote hapa, kwanza kumbuk mzee mengi ni msomi, na anamwanasheria wake bw michael ngalo, huyu ni mshaur wa maswala yote ya kisheria juu ya mzee na kampuni. Hakuna kilichovunjwa hapo, by the way naomba tujadili vitu vyenye tija kwa hili halituhusu.
ndugu we ni mwanasheria
Suala sio above 18 kifungu cha 9(1) cha sheria ya ndoa kinasema ndoa ya kikriato ni ya mme1 na mke1 kwaiyo kuwa na miaka 18 pekee hakuifanyi ndoa kuwa halali
Naomba unifahamishe nitasoma wapi sheria hizi za ndoa kama unavyoziongelea vya vifungu.
mimi nashindwa kuelewa maisha binafsi ya Mengi yanamuhusu yeye mwenyewe na familia yake wakati mwingine tuweke hoja zenye faida kwa taifa.
Suala si maisha binafsi ya mtu bali hapa tulikuwa tunawekana wazi km hali ya namna hii ikimtokea ata mtu mwingne awe anajua pakuanzia na si hivyo unavyonadhi tumejikita kujadili maisha ya mtu bali hapa tumetumia km nyenzo ya kuuangalia ukweli ulipo kulingana na sheria za nchi zinavyo sema.
Na pia ata majaji mahakamani huamua kesi kwa kutumia maamuzi ya kesi zenye majina ya watu katika kesi zilizo mbele yao (precedence) hivyo kwa hili hakuna tatizo lolote
Kwa nini unauliza hivyo?
Mimi ni zaidi ya mwanasheria, mimi ni mwanasheria ya wanasheria.
ukaona wa kumtolea mfano ni Mengi tuu ndani ya tanzania nzima hizi ni chuki binafsi unaweza kuweka mada hapa JF bila kumtaja mtu na ukapata sheria za nchi zinazovyosema na msaada wa kisheria pia.
Mungu wa mbinguni anasemwa, Obama, Clinton, na wengine zaidi na wakuu kuliko Mengi wanasemwa, who is Mengi so far kuzidi hao?
Mungu wa mbinguni anasemwa, Obama, Clinton, na wengine zaidi na wakuu kuliko Mengi wanasemwa, who is Mengi so far kuzidi hao?
Kwa uelewa wangu, ukifunga ndoa ya kikristo, unapewa vyeti viwili vya ndoa, cha serikali na cha kanisa. Kile cha serikali kina sehemu unaamua kama ni ndoa ya mke mmoja au zaidi ya mke mmoja. Yaani, ukichagua mke mmoja serikali nao wanasajili hivyo kuwa ulisaini mkataba huo kuwa wa mke mmoja na si vinginevyo...
Wewe utakuwa umetumwa si bure, kuoa mwanamke wa pili wakati bado upo ndoani ya mwanzo nako ni kuvunja sheria ya nchi? Sema amekiuka maadili ya kanisa na si kuvunja sheria za nchi nduguNdoa ya leo ya Dr. Mengi na K-Lynn ni ya kweli? au ndio tusubiri siku Dr. Mengi ajekuita waandishi wa habari na kukanusha tena kuwa ni uvumi tuu?
Street is talking kwamba ndoa ya Dr. Mengi na mkewe Mercy is still valid (yani hawajatalikiana), kutokana na ukweli ya kwamba ndoa hiyo ilikuwa ni ya kanisa (until death do them apart). Sasa hapa ndipo ninapoomba msaada wa sheria katika maswali yafuatayo:-
1. Kama ni kweli ndoa ya kwanza haijatengulia, je Dr. Mengi atakuwa amevunja sheria ya inchi kufunga ndoa na K-Lynn hata kama ndoa imefungwa inchi nyingine?
2. Assume Dr. Mengi hakuweka wazi nani atakuwa muamuzi wake mkuu katika maswala ya afya. Je, kama ikatokea Dr. Mengi amepata matatizo ya kiafya na hawezi kufanya maamuzi muhimu, je inawezekana k-Lynn akawa na final say as it seems Dr. Mengi and his first wife doesnt get along?
3. Kwakuwa K-Lynn anawatoto na Mr. Mengi, je hao watoto watakuwa part of Mengis estate hataka ndoa hiyo ikagundulika kuwa batili?
4. Kama mke mkubwa akajatambua kwamba kweli kuna ndoa imefungwa wakati yeye bado ana ndoa halali na Dr. Mengi, je, kisheria naruhusiwa kumfikisha Dr. mengi mahakamani na kumshitaki?
Naomba mtusaidie kujua atamshitaki kwa kutumia kipengele kipi cha sheria?
Asanteni!