Burungutu la pesa
Senior Member
- Feb 21, 2015
- 117
- 32
acha blah blah ndoa yoyote ile iwe ya kanisa, kimila, kiislam nk inaweza tenguliwa na mahakama iwapo mtakua mmekubaliana!!!
Watoto, batili?
Washacome into existance hamna kitu kinaitwa void juu ya uwepo wa watoto.
Jamani kwa mtazamo wangu thz z person ishu. Nenda kwa mwanasheria umuelezee ivyo ivyo atakufungua macho na akuchaji kwa huduma hiyo! Unauliza unajua mipango yao??? Je kama karuhusiwa. ase wabongo
Kwa ndoa za Bomani/Area Commioner /Dc na kwa ndugu zetu waislam sio kanisani kasome upya.kifungu cha 11 cha sheria ya ndoa ya mwaka 1971....kimeruhusu kubadilisha ndoa kutoka ya mke mmoja kwenda wake wengi endapo wanandoa watakubaliana...nenda kasome hiko kipengele Van gaal
Hakuna kitu Kama Hicho.... unapewa vyeti vya ndoa viwili tu aina moja cha serikali anapewa mume na mke.Kwa uelewa wangu, ukifunga ndoa ya kikristo, unapewa vyeti viwili vya ndoa, cha serikali na cha kanisa. Kile cha serikali kina sehemu unaamua kama ni ndoa ya mke mmoja au zaidi ya mke mmoja. Yaani, ukichagua mke mmoja serikali nao wanasajili hivyo kuwa ulisaini mkataba huo kuwa wa mke mmoja na si vinginevyo...
tofautisha kati ya sheria ya kikristo na ya nchiKwa inavyosema sheria ya ndoa mtu akiwa bado yuko kwny ndoa halalo ya kikristo haruhusiwi kuoa mwanamke mwingne na ikitokea kaoa hiyo ndoa ya pili ni batili hata watoto walio zaliwa kwny hiyo ndoa ya pili ni batili na hawana chochote kwny urithi wa baba yao
Na kuhusu suala la nan mwny maamuzi sahihi juu ya afya hilo pia linarudi kwa mke halali wa mhusika mwenyewe
Na kuhusu suala la kumfikisha mahakamani ikiwa ataja gundua kuwa kaoa iyo pia m/ke ana haki hiyo kumshitaki ata yule muolewa kwa kuingilia agano lao na haki yao ya kindoa (consortum right) na kuwashitaki kwa ugoni
Msalimu sana sheikh mkuu wa darndiyo maana tunasema dini ni uislam,utata huo usingekuepo Mengi ana wake wawili kwa sasa,labda kama Mengi ameukana ukristo