Msaada wa kisheria kuhusu ndoa ya Mengi na K-Lynn

Msaada wa kisheria kuhusu ndoa ya Mengi na K-Lynn


    • Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!








Juu ya jukwaa hili pameandikwa ivyo!!!Sasa nawashangaa mnalialia nini kama watoto kwenye huu uzi hadi kumuandama mleta uzi, Wa Tz bana sijui mkoje, Ingekua habari ya Diamond na Wema, ama Ali Kiba na yake mgepiga sana kelele na kuchangia , mi nadhani ukiona huu uzi unakutesa usifungue tu, wapo wengine wanajifunza iyo sheria hapa huenda siku moja wakawa ktk situation kama hii
 
acha blah blah ndoa yoyote ile iwe ya kanisa, kimila, kiislam nk inaweza tenguliwa na mahakama iwapo mtakua mmekubaliana!!!

Ulielewa nilichoandika hapa au ww ndo umeleta blah blah? Maana apa mm sikugusia mamlaka ya mahakama haya ya kwako umeyatoa wap?
 
Jamani kwa mtazamo wangu thz z person ishu. Nenda kwa mwanasheria umuelezee ivyo ivyo atakufungua macho na akuchaji kwa huduma hiyo! Unauliza unajua mipango yao??? Je kama karuhusiwa. ase wabongo
 
Jamani kwa mtazamo wangu thz z person ishu. Nenda kwa mwanasheria umuelezee ivyo ivyo atakufungua macho na akuchaji kwa huduma hiyo! Unauliza unajua mipango yao??? Je kama karuhusiwa. ase wabongo

Mkuu, nadhani umepotea jukwaaa!
 
kifungu cha 11 cha sheria ya ndoa ya mwaka 1971....kimeruhusu kubadilisha ndoa kutoka ya mke mmoja kwenda wake wengi endapo wanandoa watakubaliana...nenda kasome hiko kipengele Van gaal
Kwa ndoa za Bomani/Area Commioner /Dc na kwa ndugu zetu waislam sio kanisani kasome upya.
 
Kwa uelewa wangu, ukifunga ndoa ya kikristo, unapewa vyeti viwili vya ndoa, cha serikali na cha kanisa. Kile cha serikali kina sehemu unaamua kama ni ndoa ya mke mmoja au zaidi ya mke mmoja. Yaani, ukichagua mke mmoja serikali nao wanasajili hivyo kuwa ulisaini mkataba huo kuwa wa mke mmoja na si vinginevyo...
Hakuna kitu Kama Hicho.... unapewa vyeti vya ndoa viwili tu aina moja cha serikali anapewa mume na mke.
 
Kwa inavyosema sheria ya ndoa mtu akiwa bado yuko kwny ndoa halalo ya kikristo haruhusiwi kuoa mwanamke mwingne na ikitokea kaoa hiyo ndoa ya pili ni batili hata watoto walio zaliwa kwny hiyo ndoa ya pili ni batili na hawana chochote kwny urithi wa baba yao
Na kuhusu suala la nan mwny maamuzi sahihi juu ya afya hilo pia linarudi kwa mke halali wa mhusika mwenyewe
Na kuhusu suala la kumfikisha mahakamani ikiwa ataja gundua kuwa kaoa iyo pia m/ke ana haki hiyo kumshitaki ata yule muolewa kwa kuingilia agano lao na haki yao ya kindoa (consortum right) na kuwashitaki kwa ugoni
tofautisha kati ya sheria ya kikristo na ya nchi
 
Back
Top Bottom