PPF wana kosa gani wakati inaonekana mwajiri hajapeleka michango PPF?Kawashitaki mahakamani. Bodi ya PPF (now as PSSSF)iwe mshtakiwa na kwanza. na Mwajiri wako mshtakiwa wa pili.
Si jukumu la muajiriwa kumfuatilia muajiri wake kulipa michango. Ni kazi ya PPF (now as PSSSF). Ndio maana wa nguvu za kisheria kumshurutisha mwajiri alipe.
PSSSF wameshndwa kutekeleza majukumu yao kama sheria inavyowataka wafanye.PPF wana kosa gani wakati inaonekana mwajiri hajapeleka michango PPF?
PSSSF wameshndwa kutekeleza majukumu yao kama sheria inavyowataka wafanye.
Ukisema ushitaki mwajiri tu itakuwa ngumu sana katika kutekeleza hukumu maana PSSSF ambaye hukusanya michango siyo sehemu ya hiyo kaza hukumu ya mahakama.
Yes but inachukua muda sana kuja kugundua hilo tatizo ,wafanyakazi wengi ni wazembe kufuatilia mambo yao wanasubiri mpaka matatizo yatokee ndio wanaamka.Sheria inasema auditor wa PPSSF atakuwa akigundua mchango haipelekwi ndio atamwandikia mwajiri sasa jiulize hiyo auditing huwa inafanyika baada ya muda gani ?Mkuu kisheria yye ppf ndiye anatakiwa kumuwajibisha mwajiri maana mimi naona kama kuna mchezo wa kulindana kati ya mfuko na mwajili
noted with thanksYes but inachukua muda sana kuja kugundua hilo tatizo ,wafanyakazi wengi ni wazembe kufuatilia mambo yao wanasubiri mpaka matatizo yatokee ndio wanaamka.Sheria inasema auditor wa PPSSF atakuwa akigundua mchango haipelekwi ndio atamwandikia mwajiri sasa jiulize hiyo auditing huwa inafanyika baada ya muda gani ?
Kama unafanya kazi ni jukumu lako (mfanyakazi) kufuatilia kwenye mfuko wa hifadhi ya jamii kama michango yako inapelekwa kila mwezi.PPF wana (Android App,Website au option ya SMS) kuangalia michango yako, kama haipelekwi ndio unatoa taarifa PPSSF ili wafuatilia mapema sio una subiri hauko kazini miezi 6 imepita ndio unaanza kufuatilia