LOVE U JF
JF-Expert Member
- Dec 9, 2015
- 2,138
- 1,639
Wanajamvi habari, kama maada inavyo tambulishwa, tumeajiliwa kwenye taasisi binafsi na tuliunganishwa na mfuko wa PPF (kabla mifuko haijaunganishwa ) cha ajabu wafanyakzi wanafukuzwa na ppf zao hupewa na taasisi na syo mfuko ,huko ppf ukienda kuuliza salio hakuna kitu je hapo wa kumshitaki ni mwajili asiye peleka pesa za wanachama au mwajili anayelipa nusu ya pesa yako tu ( ile % ambayo mwajili hukatwa) hyo hupewi katu!
Je kisheria hyo inakaa vipi?
Asanteni !!!
Je kisheria hyo inakaa vipi?
Asanteni !!!