Mimi kitaaluma nimesona BBA lkn kwenye kampuni ninayofanya kazi nimekaimu nafasi ya meneja mwajiri H.R . sasa jana nikiwa ofisin kuna mfanyakazi moja kaingia na kunitukana matusi ya hovyo. sasa najiuliza ni hatua gani zinafaa kumchukulia . naombeni ushauri wenu.
Asante
Asante