Msaada wa kisheria kuhusu ushuhuda huu wadau

Msaada wa kisheria kuhusu ushuhuda huu wadau

tanganyikakwanza

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2014
Posts
493
Reaction score
186
Kijana mmoja alikuja kuomba ushauri kwangu na haya ndiyo maelezo yake,anaomba ushauri kwa wanaoijua sheria.
Mimi nilikuwa mmoja wa kundi la majambazi waliotingisha sana nchi na kuiba bila kujulikana lakini kutokana na ugomvi uliotokea kwenye kundi memba wa squad wenzangu wakanitimua lakini nimekaa mwaka mzima sijawahi kumwambia mtu na katika huo ujambazi tulikuwa tukiua.

Sasa nataka baada ya kundi hilo kudai mimi nilittaka kulipua gari lao ili wafe nikaona niitishe waandishi wa habari na kwenda msikitini kutubu.

Sasa msaada ninoomba

- Je,polisi wataniita kama shahidi kwa sababu nimekiri au nitakuwa mtuhumiwa?

- Je nitatakiwa kuishi Segerea au nyumbani kipindi chote cha kesi?

- Je na kama nikishindwa kutoa ushahidi usio na shaka kuhusu memba wenzangu kesi itafutwa au watanishikilia mimi niliyekiri tayari?

Nawasilisha.
 
Wenye uelewa mpana tumekusoma na kukuelewa lakin kwa wale jamaa ambao wana narrow brain hawajui kuwa hizi muvi wanazocheza kuwa zinaishi na ipo siku wataulizwa kuwa hivi wakati unafanya haya mambo ulikuwa upo kwenye hali gani
 
Hiyo kesi hutawaona kina simiyu yetu,mwanadiwani,faiza fox au watu wa type ile wakikupa ushauri hapa.
 
Kwa kumsaidia,mwambie aende katika taasisi za kidini inategemea yeye ni dini gani akapate toba ya kudhamiria ilihali mwenyezi mungu amsamehe madhambi aliyoyetenda katika njama za ujambazi,ila sidhani sheri itakuacha sheria bwana mdogo ni msimeno,labda tu ulifikishe swala hli kweny vyombo vya usalama kama inavyoitwa jamii shirikishi kuwaseti hao grup memb wako matiwe mbaroni,ni hayo tu.
 
Back
Top Bottom