Marire
JF-Expert Member
- May 1, 2012
- 12,333
- 5,292
salaam sana wakuu.
hivi majuzi tu nilishuhudia kwenywe ITV nadhani ni maeneo ya IRINGA walikamata lori la mafuta likiwa ndani limesheheni vipodozi toka kongo na kesho yake wakaviteketeza.
_sasa nauliza kwa kuwa mzigo ule ulikuwa na thamani kubwa kwanini serekali isiagize mizigo kama hiyo wamiliki wapigwe fine na mzigo husika ukarudishwa ulipotoka ili kuokoa kuteketeza mamilioni ya fedha?
_kwanini pia mamlaka husika zisitoe elimu kwa watumiaji na wauzaji kuwa hiki kinafaa na hiki haikifai?
hivi majuzi tu nilishuhudia kwenywe ITV nadhani ni maeneo ya IRINGA walikamata lori la mafuta likiwa ndani limesheheni vipodozi toka kongo na kesho yake wakaviteketeza.
_sasa nauliza kwa kuwa mzigo ule ulikuwa na thamani kubwa kwanini serekali isiagize mizigo kama hiyo wamiliki wapigwe fine na mzigo husika ukarudishwa ulipotoka ili kuokoa kuteketeza mamilioni ya fedha?
_kwanini pia mamlaka husika zisitoe elimu kwa watumiaji na wauzaji kuwa hiki kinafaa na hiki haikifai?