CHE GUEVARA-II
JF-Expert Member
- Jun 17, 2010
- 571
- 156
Habari zenu wadau?
Naomba mnisaidie vifungu vya sheria na miongozo, taratibu zingine zinazotakiwa kufuatwa pale ambapo mwajiri anapokuwa ameweka mshahara bank (mara mbili ya ule anaotakiwa kutoa).
Kiukweli inabidi uwe recovered:
Sasa, je: Ni namna gani unatakiwa kuwa recovered?
Kuna mwajiri kajichanganya then anasema ATAKATA salary iliyozodishwa kwa muda wa miezi miwili (yaani nusu nusu).
Kwa nini asikate kwa mwezi mmoja tu, au miezi sita au mwaka, anafuata utaratibu gani au sheria gani?
Uzembe wake nd'o uniathiri mipango yangu?
Naomba mnisaidie vifungu vya sheria na miongozo, taratibu zingine zinazotakiwa kufuatwa pale ambapo mwajiri anapokuwa ameweka mshahara bank (mara mbili ya ule anaotakiwa kutoa).
Kiukweli inabidi uwe recovered:
Sasa, je: Ni namna gani unatakiwa kuwa recovered?
Kuna mwajiri kajichanganya then anasema ATAKATA salary iliyozodishwa kwa muda wa miezi miwili (yaani nusu nusu).
Kwa nini asikate kwa mwezi mmoja tu, au miezi sita au mwaka, anafuata utaratibu gani au sheria gani?
Uzembe wake nd'o uniathiri mipango yangu?