Habari zenu wadau!Natafuta msaada wa kisheria katika masuala ya bima.Nahitaji kufungua kesi kuishitaki kampuni moja ya bima kwa kutolipa madai yangu na kukaa kimya bila kujibu madai yangu,tatizo nimeenda law firm moja wanataka hela ambayo ni nyingi kwangu kwa sasa,naomba mwenye uelewa wa masuala ya kisheria tuwasiliane jinsi ya kusolve hii inshu coz tutaelewana kabla,naamini hii kesi nitashinda.