kuna haki inaitwa riparian right...hii inamuwezesha mmiliki wa ardhi aliye pakana na vyanzo vya maji kama mto kuwa na haki ya kutumia maji hayo..lakini matumiz haya yasiwaathir watumiaji wengine.sheria ya mazingira ya Tanzania inahusika.kwa msaada zaidi tuwasiliane ..0655626005