jaqfantasy212
JF-Expert Member
- Dec 17, 2012
- 542
- 257
Habari wakuu!!
Naomba msaada katika hili..
Nipo Zambia nahitaji msaada wa kisheria, naweza kwenda wap ili nipate msaada, vp kwenye balozi huwa zinahusika kutoa msaada kwa raia endapo anahitaj msaada??
Nyuma ya hili nina kesi yangu ya madai na lawyer niliyempa kaz naona ananilaghai kwakuwa mm ni mgen..
Naomba msaada wa haraka tafadhali
Naomba msaada katika hili..
Nipo Zambia nahitaji msaada wa kisheria, naweza kwenda wap ili nipate msaada, vp kwenye balozi huwa zinahusika kutoa msaada kwa raia endapo anahitaj msaada??
Nyuma ya hili nina kesi yangu ya madai na lawyer niliyempa kaz naona ananilaghai kwakuwa mm ni mgen..
Naomba msaada wa haraka tafadhali