Msaada wa kisheria: Partnership kwenye biashara

Kama anaweka pesa kwa 50 % basi ujue faidi ni nusu kwa nusu ndiyo taratibu na kanuni za ubia, ila unachosema kama operation unazifanya wewe unatakiwa muweke mambo sawa, ni either hiyo kazi unayoifanya iwe ni kama ajira nje ya ubia wako, yani uwe unajilipa mshahara
 
Nakuuliza swali nione ubobezi wako, kama una mubia asieishi Tanzania yani sio mtanzania ni lazima awe na TIN na anaiombaje yupo nje ya nchi
 
Nikionaga mtu anatafuta back up kwa waganga sijui namuonaje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…