Ukwaju
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 13,383
- 11,197
Mimi sijasikia mali inagawiwa wakati Mke halali wa Marehemu (mwenye watoto watatu na ndoa hana) eti wanagawana mali walizochuma.
Navyoelewa siku hizi hata kina Mama nao wana haki ya kumiliki ardhi hivyo kikwetu /Kabila yetu huwezi gawa mali wakati mama bao yupo hai eti Mwanamume katangulia.
Ngoja tuangakie hizo Sheria nyingine za Ndoa na Dini wanaemaje wachangiaji
Navyoelewa siku hizi hata kina Mama nao wana haki ya kumiliki ardhi hivyo kikwetu /Kabila yetu huwezi gawa mali wakati mama bao yupo hai eti Mwanamume katangulia.
Ngoja tuangakie hizo Sheria nyingine za Ndoa na Dini wanaemaje wachangiaji