Msaada wa kisheria plz kwa anayejua...

Mimi sijasikia mali inagawiwa wakati Mke halali wa Marehemu (mwenye watoto watatu na ndoa hana) eti wanagawana mali walizochuma.
Navyoelewa siku hizi hata kina Mama nao wana haki ya kumiliki ardhi hivyo kikwetu /Kabila yetu huwezi gawa mali wakati mama bao yupo hai eti Mwanamume katangulia.
Ngoja tuangakie hizo Sheria nyingine za Ndoa na Dini wanaemaje wachangiaji
 
mke wa pili ana haki zote kwani walichuma mapema, mke wa kwanza hana haki na mali izo ila mtoto anapaswa kupata mgao wake kama mrithi halali wa baba yake kwani alipatikana katika ndoa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…