habarini wanajamii.... naombeni msaada wenu wa kisheria katika jambo hili linalohusu familia yetu!
sisi tumezaliwa watoto sita katika familia yetu na kila mmoja na mama yake!baba yetu alikua anaish na mama yangu lakini walitangana na baba akamchukua mama mwingine wakawa wanaishi wote. baada ya miaka kadhaa baba alifariki na sis tulikuwa wadogo bado tunasoma sekondari! hivyo ikatokea kumchagua mama yetu wa kambo kuwa msimamizi wa mirathi baada ya ugomvi mkubwa kati mama yetu wa kambo na bamdogo zetu!tatizo tulilokuwa nalo saiv ni kwamba huyu mama kapangisha nyumba nzima halaf kahamia kwao manyara anakuja kuchukua kodi kila baada ya miezi sita na sisi hajatuaga! pia nyumba yetu imeharibika vibaya mno na inataka kudondoka! hivyo sis kama watoto tunajipaga tukamtengue huyu mama kama msimamizi wa mirathi tunataka tusimamie wenyewe kwan nyumba imemshina kusimamia na ameuza baadhi ya mali bila kutushirikisha!
je kisheria tutafanikiwa kumtengua huyu mama usimamizi wa mirathi? ni vitu gan vitahitajika? naombeni ushauri wenu wadau!
sisi tumezaliwa watoto sita katika familia yetu na kila mmoja na mama yake!baba yetu alikua anaish na mama yangu lakini walitangana na baba akamchukua mama mwingine wakawa wanaishi wote. baada ya miaka kadhaa baba alifariki na sis tulikuwa wadogo bado tunasoma sekondari! hivyo ikatokea kumchagua mama yetu wa kambo kuwa msimamizi wa mirathi baada ya ugomvi mkubwa kati mama yetu wa kambo na bamdogo zetu!tatizo tulilokuwa nalo saiv ni kwamba huyu mama kapangisha nyumba nzima halaf kahamia kwao manyara anakuja kuchukua kodi kila baada ya miezi sita na sisi hajatuaga! pia nyumba yetu imeharibika vibaya mno na inataka kudondoka! hivyo sis kama watoto tunajipaga tukamtengue huyu mama kama msimamizi wa mirathi tunataka tusimamie wenyewe kwan nyumba imemshina kusimamia na ameuza baadhi ya mali bila kutushirikisha!
je kisheria tutafanikiwa kumtengua huyu mama usimamizi wa mirathi? ni vitu gan vitahitajika? naombeni ushauri wenu wadau!