mutagaywa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 891
- 189
Wakuu,
Kama nilivyotaja kuna bwana mmoja nilikuwa nafanya nae kazi lakini kutokana na kutokuwa mwaminifu nimevumilia siku nyingi kuusu utendaji wake wa kazi na hisitoshe alikuwa mtu wangu wa karibu sana lakini baada ya kuonekana kutokuwa mwaminifu katika kazi ambayo tulikuwa tunashirikiana niliamua kuvunja makubaliano yangu nae nakuamuru anilipe staiki zangu ili yeye aendee kufanya kazi hiyo lakini alishindwa kufanya hivi.
Ndipo nilipoamua kumpeleka baraza la kata kupata muafaka lakini cha kushanza baraza la kata linakuja na huku nyepesi yakuniambia eti mimi nimeshidwa hivyo huyo bwana itanibidi anipe hela kidogo ambayo aifiki hata robo nimekataa wakasema kama nakata rufaa kwenda mbele inabidi nilipe elfu kumi kwa ajili ya wajumbe nimelipa hiyo pesa, natarajia kukataa rufaa kupinga hukumu hiyo uchwara sasa.
Naomba msaada wenu kuhusu hiyo rufaa coz ndo mara yangu ya kwanza kudhuru mahakamani tafadhali kitu gani inabidi nifate.
Asanten sana.
Kama nilivyotaja kuna bwana mmoja nilikuwa nafanya nae kazi lakini kutokana na kutokuwa mwaminifu nimevumilia siku nyingi kuusu utendaji wake wa kazi na hisitoshe alikuwa mtu wangu wa karibu sana lakini baada ya kuonekana kutokuwa mwaminifu katika kazi ambayo tulikuwa tunashirikiana niliamua kuvunja makubaliano yangu nae nakuamuru anilipe staiki zangu ili yeye aendee kufanya kazi hiyo lakini alishindwa kufanya hivi.
Ndipo nilipoamua kumpeleka baraza la kata kupata muafaka lakini cha kushanza baraza la kata linakuja na huku nyepesi yakuniambia eti mimi nimeshidwa hivyo huyo bwana itanibidi anipe hela kidogo ambayo aifiki hata robo nimekataa wakasema kama nakata rufaa kwenda mbele inabidi nilipe elfu kumi kwa ajili ya wajumbe nimelipa hiyo pesa, natarajia kukataa rufaa kupinga hukumu hiyo uchwara sasa.
Naomba msaada wenu kuhusu hiyo rufaa coz ndo mara yangu ya kwanza kudhuru mahakamani tafadhali kitu gani inabidi nifate.
Asanten sana.