msaada wa kisheria tafadhali

lendanai

JF-Expert Member
Joined
Oct 19, 2014
Posts
375
Reaction score
280
Habari za muda huu wadau wote wa jukwaa hili,napenda kutoa pongez kwa wadau wote wa humu kwa kutufungua mind na kutupa mind nourishment for sure salute for all,naombeni msaad hap,ivi baba mwenye boma akigawa viwanja kwa kila mtot wake then baaday akafariki talafu wale watot wakaanza kugomban wenyew kuwa baba alikosea kugawa hizi viwanja,hapa sheria ya uridhi itawasaidiaje hawa?,ahsanteni
 
dah bila maandishi, mashahidi ni vigumu itabidi wakubaliane upya tu.
 
dah bila maandishi, mashahidi ni vigumu itabidi wakubaliane upya tu.
Ahsante sana mdau Casanova,lakin swala la ushaidi wapo ila wameegemea upande mmoja,hapo inakuaje Mdau wangu
 
Suala la mgawanyo wa Mali kama lilifanywa na Marehemu enzi za uhai wake hata mkibaki mnagombana inabidi alichokifanya enzi za uhai wake kiheshimiwe kiimani na kimila.
 
Suala la mgawanyo wa Mali kama lilifanywa na Marehemu enzi za uhai wake hata mkibaki mnagombana inabidi alichokifanya enzi za uhai wake kiheshimiwe kiimani na kimila.
Ahsante sana mjita pure,nmependa ushaur wak San na nilikuwa na hayo mawazo kabsa,je kusheria kuna kipenge au ibara gani inayolinda wosia wa marehemu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…